Hii
 imekuja siku chache baada ya Shilole kuwashukia wanaomsema vibaya 
mpenzi wake kuwa ni mtoto, anambembenda kwasababu wapo kama mtu na 
mwanae,mara kijana anapenda kulelewa.Ndio
 Shilole alijibu kuwa huyo si mtoto kwani mapenzi anayompa chumbani ni 
mazito na angekuwa mtoto asingekuwa analilia mapenzi bali angekuwa 
analilia nyonyo kwa mama ake.

Baada
 siku kadhaa ndio kijana huyo akaibuka na tatoo ya hiyo kudhihirisha 
mapenzi kwa mwanadafada huyo. Hii ni tatoo ya pili Nuhu kujichora baada 
ya ile ya kwanza yenye jina la ShishiBaby. 
But hatuombei waachane ila siku wakiachana sijui itakuwaje?
 
Post a Comment