 
Baada
 ya idris kushinda ule mtonyo katika mashindano ya bba kule kwamadiba 
davido akatoa kauli kwamba ‘they cheat again’ kwaupande wake Diamond 
ilimuuma sana hiyo kauli na kuhisi kwamba hata kwenye tuzo za Channel O 
pia inaonekana walicheat pia 
usiku
 huo huo wajana Diamond alitajwa kuwa mshindi wa Future Awars ndipo 
Diamond alipoamua kuupload ile picha ya tuzo nakuandika haya “Thanx god,
 we have cheated another one on The Future Awards Africa in Lagos 
Nigeria… #SameDay #SameNight Thank you aALLAH!”

 
Post a Comment