Shilole
 aliyetamba na tracks kama Nakomaa na Jiji na Chuna Buzi, amesema kuwa 
muziki ndiyo unaomfanya aonekane mrembo na kutanua mtaani kwa kuwa 
unamwingizia fedha nyingi kuliko anazozipata katika movie.
Msanii
 huyo aliyedai kwa sasa yuko jikoni anaandaa ngoma ya kufunga mwaka 
itakayoingia sokoni mwezi ujao, alisema ameamua kuweka kando uigizaji 
kwa muda ili akusanye fedha kwenye muziki ili baadaye aweze kutengeneza 
movie yake.
 
Post a Comment