Akionekana kama amesinzia kwa hisia kali mbele ya bendi ya muziki ya B
Band inayomilikiwa na msanii mkongwe, Banana Zorro, picha hii ya
mwingizaji Irene Uwoya ilizua maswali mengi kuwa anaonekana jama
alikuwa amechapa kilaji sana na kulewa ndio akapandisha mizuka hii au ni
mapenzi na mahaba yake na wimbo au nyimbo ambazo zilikuwa zikipigwa
na bendi hiyo.
Majibu ya maswali hayo yote anayo Uwoya mwenye, lakini waswahili wanasema picha inazungumza. Wewe je unamuonaje hapo?? Awali akionekana yupo sawa sawa alipiga picha akiwa na Banana kama unavyoiona hapo juu.
Post a Comment