Msanii wa muziki kutoka Kenya, Jaguar
ameweka wazi hisia zake za kumkubali sana staa wa filamu Irene Uwoya
kutoka Bongo, ambapo amesema anajipanga kutua Bongo mwishoni mwa mwaka
huu kuja kumuona staa huyu anayevutiwa naye.
Jaguar
Jaguar ameiambia E-Newz ya Eatv kuwa
akitua Bongo hataishia kumuona Irene tu, bali atakwenda hadi kwa wazazi
wa staa huyu kwa lengo ambalo hajalifafanua zaidi.
“Mimi naona nitue Tanzania, sijui nije December, sijui nimuijie Irene Uwoya, nije kumchukua, mwambie naja kumchukua, ameniambia nione wazazi kwanza, naja December kumchukua,” alisema Jaguar.
“Mimi naona nitue Tanzania, sijui nije December, sijui nimuijie Irene Uwoya, nije kumchukua, mwambie naja kumchukua, ameniambia nione wazazi kwanza, naja December kumchukua,” alisema Jaguar.
Irene Uwoya
Baada ya kauli hiyo Bongo5 ilimtafuta Uwoya na kuzungumzia ujio huo wa Jaguar ambao amesema anaufahamu, na akadai anakuja kufanya mipango ya kumuoa.
“Tunampango wa kuoana, bado anakuja,” alisema Irene Uwoya huku alifurahi. KUONA VIDEO BOFYA HAPA
Baada ya kauli hiyo Bongo5 ilimtafuta Uwoya na kuzungumzia ujio huo wa Jaguar ambao amesema anaufahamu, na akadai anakuja kufanya mipango ya kumuoa.
“Tunampango wa kuoana, bado anakuja,” alisema Irene Uwoya huku alifurahi. KUONA VIDEO BOFYA HAPA
Post a Comment