Muigizaji wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel (kulia) akiwa na shosti yake Wema Sepetu.
Ndugu hao ambao walizungumza na gazeti hili walidai kwamba
wamesikitishwa na suala la muigizaji huyo kupata mimba huku akijua
kwamba yeye ni mke wa mtu na ni kosa kubwa kwa mwanamke wa dini ya
Kiislamu kupata mimba nje ya ndoa.
“Ni lazima tulisimamie kidete, haiwezekani mwanamke kaolewa halafu
anapata mimba nje ya ndoa, hili suala tutalisimamia na lazima tumfikishe
Bakwata,” alisema mmoja wa ndugu.
Alipotafutwa Aunt Ezekiel kulizungumzia hilo, alisema;
“Wanifikishe Bakwata kwa lipi? Kwani nimeolewa na ndugu au Demonte? Hawawezi kunifikisha Bakwata hivyo wasinifuatilie.”
“Wanifikishe Bakwata kwa lipi? Kwani nimeolewa na ndugu au Demonte? Hawawezi kunifikisha Bakwata hivyo wasinifuatilie.”
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.